Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 6 January 2014

KALALE PEMA PEPONI KAMANDA MGIMWA


 Rais Jakaya Kikwete akiweka udongo kwenye kaburi lililohifadhi mwili wa William Mgimwa wakati wa maziko ya waziri huyo aliyefariki Januari Mosi mwaka huu nchini Afrika Kusini. 

 Wazee wa kabila wa Wahehe wakiweka shada la maua kwenye jeneza lililohifadhi mwili wa aliyekuwa waziri wa fedha, William Mgimwa.
 Waziri Mkuu Mizengo Pinda akitoa heshima za mwisho kwa mwili wa aliyekuwa waziri wa fedha, William Mgimwa.
Mjane wa marehemu Mgimwa, Jane, akilia kwa uchungu. (Picha zote kwa hisani ya Mjengwablog).

No comments:

Post a Comment