Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 5 January 2014

LYATONGA MREMA APEWE UWAZIRI TENA!

Huyu Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro aliwashikisha adabu wale wote wenye kiburi. Kuanzia wanaume waliopenda kutesa wake zao mpaka magabachori. Sasa jamaa akipewa wizara yoyote kwa sasa, ambapo ufisadi umetamalaki, naamini anaweza kuwanyorosha...

No comments:

Post a Comment