Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 15 April 2015

KAMPUNI YA GOOGLE YASHTAKIWA


Muungano wa Ulaya umeishtaki rasmi kampuni ya google kwa utumizi m'baya wa soko lake kufuatia uchunguzi wa miaka mitano.

Kamishna wa ushindani katika muungano huo Margrethe Westager amesema kuwa ana wasiwasi kwamba kampuni hiyo ilikuwa na upendeleo ambapo ni kinyume na sheria zake za uaminifu.
Pia ilianzisha uchunguzi kuhusu mfumo wa Anrodid katka kampuni hiyo.
Kampuni hiyo ya mtandao imechukua wiki kumi ili kujibu mashtaka hayo.
Hakuna tamko lolote lililotolewa na kampuni ya Google.Muungano wa Ulaya huenda ukaipiga faini kampuni hiyo yenye thamani ya mabilioni ya dola.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment