Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 15 April 2015

HUYU NDIYE BALOZI WA MAPENZI YA JINSIA MOJA VATICAN

Balozi mteule Laurent Stefanini
Serikali ya Ufaransa imesema kuwa inangojea jibu kutoka kwa kanisa Katoliki kuhusu uajiri wa balozi wa mapenzi ya jinsia moja katika makao makuu ya kanisa hilo mjini Vatican.

Msemaji wa serikali hiyo amesema kuwa Ufaransa haitaondoa uteuzi wake wa Laurent Stefanini ambao ulifanywa mwezi Januari.
Waangalizi wanasema kuwa uteuzi wowote unaofanywa na kanisa katoliki huthibitishwa kati ya mda wa wiki sita na kwamba kimya hicho kikuu kinaamaanisha kwamba uteuzi huo umekataliwa.
Uteuzi huo unaonekana kama mtihani kwa upande wa Papa francis ambaye amekuwa na msimamo ulio huru kuhusiana na wapenzi wa jinsia moja.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment