Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 4 April 2015

WANAMITINDO WEMBAMBA WAPIGWA MARUFUKU


Bunge la Ufaransa limeidhinisha sheria inayopiga marufuku tabia ya makampuni ya wanamitindo nchini humo kutumia wasichana waonesha mitindo walio wembamba kupita kiasi.

Sasa itabidi wanamitindo wembamba kuonyesha kuwa wanauzito wa viwango vinavyokubaliwa kiafya.
Mawakala wa wanamitindo watakaokiuka viwango vilivyowekwa watapigwa faini huku wakuu wa makampuni husika nao huenda wakakabiliwa na vifungo vya hadi miezi 6.
Pia sheria imepitishwa inayopendekeza hatua kuchukuliwa dhidi ya mitandao inayopendelea kuonyesha picha za wasichana walio wembamba kiasi cha kudhoofisha kiafya.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment