Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 14 April 2015

TAJIRI GANI ANASHAWISHI VIGOGO KUWA MAFISADI?


Hivi ni kweli viongozi tuliowapa dhamana wanatumia vyeo vyao kufanya ufisadi kwa sababu ya kushawishiwa na matajiri?

Au ni njia nyingine ya kurudisha fedha zao walizozitumia kununua kura na viparata wakati wa uchaguzi?
Watanzania wamepoteza uzalendo na ndiyo maana wakati mwingine natamani sana tumpate 'Rais mwenye uso wa mbuzi' ambaye hatamuangalia yeyote usoni.
Tusipofanya hivyo hakika makaburi yetu yatachapwa viboko na wajukuu.

Mbega,
Safarini Sumbawanga

No comments:

Post a Comment