Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 14 April 2015

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI AVALIA NJUGA TATIZO LA UBOVU BARABARA WILAYANI KWAKE


Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ndugu Paul Makonda akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar Es Salaam.


UCHUNGUZI JUU YA UBOVU WA BARABARA ZA WILAYA YA KINONDONI 13.04.2015

UTANGULIZI

Ndugu waandishi wa habari na ndugu wananchi, nimewaiteni leo, kuwaambia juu ya Agenda moja tu. Nayo ni Ubovu wa barabara.

Tangu sijaingia ofisini hapa, na baada ya kuingia ofisi hizi za umma, kila siku Napata fursa ya kuzunguka maeneo mbalimbali katika maeneo ya Kinondoni, nimekuwa nikisiliza jamii nzima ya Kinondoni, wengi kero yao kubwa ni ubovu wa barabara nchini lakini hasa wakiinyooshea kidole wilaya yangu ya Kinondoni. Mimi nitazungumzia ubovu huo katika wilaya yetu hii ya Kinondoni. 

No comments:

Post a Comment