Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 3 June 2015

WAZIRI MKUU, MIZENGO PINDA AFUNGUA MKUTANO WA TANO WA WADAU WA NSSF MKOANI ARUSHA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akifungua mkutano wa tano wa wadau wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii wa  NSSF kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), Juni 2, 2015. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Arusha Felix Tibenda, Mkurugenzi Mkuu wa NSSF ,Dr. Ramadhani Dau na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya NSSF Abubakari Rajab. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu)
4
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa tano wa Mfuko wa hifadhi ya jamii, NSSF wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo PInda wakati alipofungua mkutano huo kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha  Arusha,  AICC mjini Arusha Juni 2, 2015.
3
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na mdau wa Mfuko wa Hifadhi za Jamii wa NSSF, Bw.Clement Lori na mkewe Margareth  baada ya kufungua mkutano wa wadau wa NSSF kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha AICC mjini Arusha Juni 2, 2015.

No comments:

Post a Comment