Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 29 September 2015

MWEZI USIO WA KAWAIDA WAZUA MSISIMKO

Mwezi mkubwa
Picha hii inaonyesha mwezi mkubwa wa kawaida na mwezi mkubwa ukilingana na kupatwa kwa mwezi kama ilivyoshuhudiwa Wiesbaden, Ujerumani leo

Watu wengi pande mbalimbali duniani wamekuwa wakitazama tukio la kawaida la kupatwa kwa mwezi ambalo limetokea wakati mmoja na kuonekana kwa mwezi mkubwa kwa Kiingereza "supermoon".
Mwezi huo mkubwa huonekana mwezi unapokuwa karibu zaidi na njia ya mzunguko ya dunia, jambo ambalo huufanya kuonekana mkubwa angani.
Kupatwa kamili kwa mwezi – ambako huufanya kuwa na rangi nyekundu – kulionekana Amerika Kaskazini, Afrika Magharibi na Ulaya Magharibi.
Tukio hili lilitokea mara ya mwisho 1982 na mara nyingine litaonekana 2033.
Mwezi mkubwaImage copyrightReuters
Image captionMwezi mkubwa ulivyoshuhudiwa angani London

No comments:

Post a Comment