Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday 17 July 2014

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2014 HAYA HAPA

Watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya waliofanya mtihani kidato cha 6 2013/14 wamefaulu ambapo wasichana ni 12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825.
Waliopata Daraja la IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54 na waliopata sufuri 0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.



No comments:

Post a Comment