Watahiniwa 38,905 sawa na asilimia 95.98 ya waliofanya mtihani kidato cha 6 2013/14 wamefaulu ambapo wasichana ni
12,080 na wavulana waliofaulu ni 26,825.
Waliopata Daraja la IV ni 4,420 sawa na asilimia 12.54 na waliopata sufuri 0) ni 612 sawa na asilimia 1.74.
No comments:
Post a Comment