Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 22 August 2015

WANAJESHI WALIOWAUA RAIA WAKIWA HARUSINI MATATANI


Kiongozi Mkuu wa Jeshi la Muungano wa Afrika linalohudumu nchini Somalia, anasema kuwa wanajeshi watatu wa kikosi hicho wameshtakiwa kuhusiana na mauaji ya mwezi uliopita ya kundi moja la raia.
Maman Sidikou aliomba msamaha na akatoa kile ambacho amesema ni rambirambi kwa jamaa ya watu saba wa familia moja waliopigwa risasi katika mji wa Merka, kusini mwa mji mkuu Mogadishu.
Kwa mjibu wa kundi moja la kutetea haki za binaadamu- Human Rights Watch, wanajeshi wa umoja wa Afrika kutoka Uganda waliwashambulia kwa risasi watu waliokuwa wakihudhuria harusi baada ya msafara wao kulipuliwa kwa bomu.
Askari hao watahukumiwa katika mahakama ya kijeshi.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment