Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 2 August 2015

SUDAN KUSINI YATAMBULIWA NA KAMATI YA KIMATAIFA YA OLIMPIKI


Sudan Kusini imetambuliwa rasmi na kamati ya kimataifa ya Olimpiki, na hivyo kuruhusu kushiriki katika Olimpiki mwakani, huko Rio de Janeiro.
Sudan Kusini ilipata uhuru miaka mine iliyopita, na hivyo haikuwahi tarehe ya mwisho ya kuweza kuingia katika Olimpiki ya London ya mwaka 2012.
Mkimbiaji wa Sudan Kusini, Guor Marial, alishiriki chini ya bendera ya Olimpiki.
Wawakilishi wa Sudan Kusini walitokwa machozi, nchi yao ilipokubaliwa kuwa mwanachama wa Olimpiki ( na kuwa mwanachama mia mbili na 6).
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment