Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 18 August 2015

SALVA KIIR AGOMA KUTIA SAINI MAKUBALIANO

Salva Kiir
Serikali ya Sudan Kusini imekataa kusaini mkataba uliotarajiwa kuleta amani na kumaliza mapigano yaliyodumu nchini humo kwa zaidi ya miezi ishirini.
Hata hivyo waasi na makundi ya upinzani wamesaini kwa upande wao.
Serikali imeomba kuongezewa siku kumi na tano zaidi kushauriana juu ya mapendekezo hayo.
Waziri kutoka Uingereza anayesimamia maswala ya Afrika ameitaka serikali ya Sudan Kusini kutia sahihi mkataba huo haraka iwezekanavyo.
Amesema kuwa watu hawafai kusheherekea hadi pale rais Kiir atakapotia sahihi mkataba huo.
BBC

No comments:

Post a Comment