Idadi ya watu waliouawa kwenye milipuko hiyo imepanda hadi zaidi ya watu 110.
Wasimamizi wa mitaandao nchini China wamefunga mitandao kadha inayodaiwa kuzua hofu kwa kuchapisha habari zisizokuwa za kweli.
Mapema mamia ya mitandao ya kijamii ilifungwa na utawala kwa kueneza uvumi kuhusu milipuko hiyo.
BBC

No comments:
Post a Comment