Esther Bulaya - Bunda Mjini
Ansbert Ngurumo - Muleba Kaskazini
Saed Kubenea - Ubungo
Na Daniel Mbega
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeweka hadharani wagombea
138 wa majimbo ambayo wamegawana katika Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)
ikiwa ni asilimia 54 ya majimbo 253 ambayo umoja huo umesimamisha wagombea kati
ya majimbo yote 265 nchini.
Mgawanyo huo unaonyesha kwamba Chama cha Wananchi (CUF) kitakuwa na
wagombea 99 sawa na asilimia 29 (yakiwemo majimbo 49 ya Zanzibar), NCCR-Mageuzi
yenyewe itasimamisha wagombea 14 (sawa na asilimia 5.5) na NLD itasimamisha
wagombea watatu (sawa na asilimia 1.2).
Orodha kamili ya wagombea hao ni kama ifuatavyo:
Mkoa wa Mara
Rorya: STEVEN J OWAWA
Tarime Mjini: ESTHER N
MATIKO
Tarime Vijijini: JOHN HECHE
Musoma Vijijini: ZAKARIA
MBULA CHIRAGWILE
Butiama: YUSUPH R KAZI
Bunda Mjini: ESTHER BULAYA
Mwibara: HARUN D CHIRIKO
Musoma Mjini: VINCENT J
NYERERE
Bunda Vijijini: SULEIMAN
DAUDI
Mkoa wa Simiyu
Bariadi: GODWIN SIMBA
Maswa Magharibi: ABDALA
PATEL
Maswa Mashariki: SYLVESTER
KASULUMBAYI
Kisesa: MASANJA MANANI
Meatu: MESHACK OPULUKWA
Itilima: MARTINE MAGILE
Mkoa wa Shinyanga
Msalala: PAULO MALAIKA
Kahama Mjini: JAMES LEMBELI
Kahama Vijijini (Ushetu):
SIMON BUKAKIYE ISAYA
Shinyanga Mjini: PATROBAS
PASCHAL KATAMBI
Kishapu: FRED T MPENDAZOE
Mkoa wa Mwanza
Ukerewe: JOSEPH MKUNDI
Magu: KALWINZI NGONGOSEKE
Nyamagana: EZEKIA D. WENJE
Buchosa: MARTINE KASWAHILI
Sengerema: HAMIS TABASAMU
Ilemela: HIGHNESS KIWIA
Misungwi: LEONIDAS KONDELA
Mkoa wa Geita
Bukombe: PROF. KULIKOYELA KANALWANDA
KAHIGI
Busanda: ALPHONCE C MAWAZO
Nyang’wale: GEORGE MABULA
Chato: DR. BENEDICT LUKANIMA
Mbogwe: NICODEMUS H MAGANGA
Mkoa wa Kagera
Karagwe: PRINCE RWAZO
Kyerwa: BENEDICT MTUNGIREHI
Bukoba Mjini: WILFRED
LWAKATARE
Muleba Kaskazini: ANSBERT
NGURUMO
Muleba Kusini: ALISTIDES
KASHASILA
Biharamulo: DR. ANTHONY
MBASSA
Mkoa wa Mbeya
Lupa: NJELU EDWARD MLUGALE KASAKA
Songwe: MPOKI MWANKUSYE
Mbeya Mjini: JOSEPH MBILINYI
Kyela: ABRAHAM H MWANYAMAKI
Rungwe: JOHN D MWAMBIGIJA
Busokelo: BONIPHACE A MWAMUKUSI
Mbozi: PASCHAL HAONGA
Momba: DAVID E SILINDE
Mbeya Vijijini: ADAM NZELA
Tunduma: FRANK MWAKAJOKA
Vwawa: FANUEL MKISI
Mkoa wa Iringa
Ismani: PATRICK OLE SOSOPI
Kalenga: MUSSA L MDEDE
Mufindi Kaskazini: JUMANNE K
MASONDA
Iringa Mjini: PETER MSIGWA
Kilolo: BRIAN KIKOTI
Mafinga Mjini: WILLE MUNGAI
Mkoa wa Njombe
Njombe Kaskazini: EMMANUEL
MASONGA
Lupembe (Njombe Kusini):
EDWIN E SWALE
Wanging’ombe: DISMAS A
LUHWAGO
Makete: JACKSON T MOGELA
Ludewa: BATHROMEO MKINGA
Makambako: ORAPH MHEMA
Mkoa wa Rukwa
Nkasi Kusini: ALFRED DANIEL
SOTOKA
Kwela: DANIEL NAFTAL NGOGO
Nkasi Kaskazini: KESSY SOUD
Sumbawanga Mjini: SHADRACK
MALILA ‘IKUWO’
Kalambo: VICTOR MATENI
Mkoa wa Tanga
Kilindi: JERADI K MREMA
Muheza: ERNEST MSINGWA
Korogwe: AMANI H KIMEA
Korogwe Vijijini: EMMANUEL
KIMEA
Mkoa wa Kilimanjaro
Rombo: JOSEPH SELASIN
Same Magharibi: CHRISTOPHER
S MBAJO
Same Mashariki: NAGENJWA
KABOYOKA
Moshi Mjini: JAFARY P
MICHAEL
Hai: FREEMAN A MBOWE
Siha: DR. GODWIN MOLLEL
Mkoa wa Arusha
Arumeru Mashariki: JOSHUA
NASSARI
Arumeru Magharibi: GIBSON
MESIYEKI
Arusha Mjini: GODBLESS LEMA
Longido: ONESMO OLE NANGOLE
Monduli: JULIUS KALANGA
Karatu: WILLE QAMBALO
Ngorongoro: ELIAS NGORISA
Mkoa wa Manyara
Simanjiro: JAMES KINYASI OLE
MILLYA
Mbulu Vijijini: MIKEL PETRO
AWEDA
Hanang’: MAGOMA RASHID
DERICK
Babati Mjini: PAULINE P
GEKUL
Babati Vijijini: LAURENT
SURUMBU TARRA
Kiteto: KIDAWA ATHUMANI
IYAVU
Mbulu Mjini: PAULO HERMAN
SULLE
Mkoa wa Dar es Salaam
Ubungo: SAED KUBENEA
Kawe: HALIMA JAMES MDEE
Ukonga: MWITA MWIKWABE
WAITARA
Ilala: MUSLIM HASSANALI
HEIDERALI
Kibamba: JOHN JOHN MNYIKA
Mkoa wa Pwani
Chalinze: MATHAYO TM.
TORONGEY
Kibaha Mjini: MICHAEL PAUL
MTALY
Kibaha Vijijini: EDITHA
BABBEIYA
Mkoa wa Morogoro
Mikumi: JOSEPH HAULE ‘PROFESA
JAY’
Morogoro Kusini: DAVID
LUKAGINGIRA
Kilombero: PETER E LIJUALIKALI
Mlimba: SUZAN L. KIWANGA
Mvomero: OSWALD MLAY
Ulanga Magharibi: ALPHONCE
MBASSA
Ulanga Mashariki: PANCRAS
KONGOLI
Morogoro Mjini: MARCOSSY
ALBANIE
Mkoa wa Dodoma
Kongwa: ESAU NGOMBEI
Dodoma Mjini: SINGO BENSON
KIGAILA
Bahi: MATHIAS LYAMUNDA
Chilonwa: JOHN CHOGONGO
Mkoa wa Singida
Iramba Magharibi: JESCA
KISHOA
Iramba Mashariki (Mkalama):
OSCAR KAPALALE
Singida Kaskazini: DAVID
DJUMBE
Singida Mashariki: TUNDU A
LISSU
Singida Magharibi: MARCO
ALLUTE
Manyoni Magharibi: LUPAA
DONALD
Manyoni Mashariki: ALLUTE
EMMANUEL
Mkoa wa Tabora
Nzega Mjini: CHARLES MABULA
Igunga: NG’WIGULU KUBE
Urambo: SAMWELI NTAKAMLENGA
Ulyankulu: DEUS KITAPANDYA
NGERERE
Sikonge: SAID NKUMBA
Manonga: ALLY KHALFANI NGUZO
Mkoa wa Katavi
Mpanda Mjini: JONAS KALINDE
Mpanda Vijijini: MUSSA
MASANJA
Katavi: GEORGE SAMBWE
Nsimbo: GERALD KITABU
Kavuu: LAURENT SENGA
MANGWESHI
Mkoa wa Kigoma
Kigoma Kaskazini: DR. YARED
FUBUSA
Kigoma Mjini: DANIEL
LUMENYELA
Mkoa wa Ruvuma
Peramiho: ELASMO MWINGIRA
Mbinga Magharibi/Nyasa:
CUTHBERT S. NGWATA
Mbinga/Mbinga Vijijini:
EDWIN B AKITANDA
Songea Mjini: JOSEPH FUIME
Madaba: EDSON MBOGORO
No comments:
Post a Comment