Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 21 April 2014

MASKINI MAMA BARAKA, KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA

Hakika hujafa hujaumbika. Usimcheke mlemavu kwa sababu hakuna aliyeomba kuzaliwa katika hali aliyonayo. Hata wewe hukuomba kuzaliwa katika jinsi hiyo, bali ni mapenzi ya Mungu. Lakini ndugu zetu wenye ulemavu wanakabiliwa na madhira makubwa katika maisha yao.
Mtazame dada huyu, ambaye hana mikono, amebahatika kupata mtoto wa kiume aitwaye Baraka, lakini hana msaidizi nyumbani. Mimi na wewe hatujui hata baba wa mtoto yuko wapi ili aweze kutoa usaidizi katika malezi ya mtoto Baraka.
Lakini Mungu ni mwema, maana dada yetu huyu anamhudumia mwanawe kama akinamama wengine wenye viungo sawa, pengine zaidi ya hapo.

No comments:

Post a Comment