Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 21 August 2015

SERIKALI YA ZIMBABWE YATEGEMEA WAHUBIRI

Waziri wa Afya David Parirenyatwa (kushoto) akipokea dola 120,000 kutoka kwa muhubiri Walter Magaya
Serikali ya Zimbabwe inaendelea kukabiliwa na matatizo katika kuafikia malengo yake ya kifedha, kwa hivyo imeanza kuwategemea wahubiri maarufu wanaojitambulisha kama manabii.
Siku ya Alhamisi Waziri wa Afya David Parirenyatwa alipokea takriban dola 120,000 kutoka kwa Walter Magaya wa kanisa la PHD, ili kukarabati vituo vya afya.
Kwa sababu ya hali mbaya za kiuchumi, miujiza huvutia raia wengi na hivyo basi kuchangisha fedha nyingi kila Jumapili.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment