Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 21 August 2015

FIFA YAKUTANA NA WADHAMINI WAKE


Rais wa FIFA, Sepp Blatter
Shirikisho la kandanda duniani Fifa, limekutana na baadhi ya wadhamini wake wakubwa kujadili uchunguzi wa maswala ya rushwa.
Mamlaka za Marekani na Uswisi zinachunguza madai ya utoaji na upokeaji rushwa kwa viongozi wa juu wa shirikisho hilo.
Wadhamini waliokutana na shirikisho hilo ni AB InBev, Adidas, Coca-Cola, McDonald pamoja na Visa.
Ambapo shirikisho hilo la kandanda likakubaliana na wadhamini hao kufanya kazi kwa uwazi, mageuzi, na kushirikiana na washirika wake kwa ukaribu.
Katika taarifa ya pamoja ya wadhamini hao ilisema: ni matarajio yao watafanya mageuzi imara, na wataendelea kushirikana na Fifa.".
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment