IGP Ernest Mangu
Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kwamba kuna mapigano katika Kijiji cha Mbande mkoani Dar es Salaam yaliyosababishwa na mgogoro wa ardhi.
Mpashaji wetu anasema wananchi wa jamii ya Wakurya wamevamia mashamba na nyumba za watu na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.
No comments:
Post a Comment