Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 17 November 2014

BREAKING NEWS: WANANCHI WAJERUHIWA MBANDE, DAR KWA MGOGORO WA ARDHI

IGP Ernest Mangu

Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kwamba kuna mapigano katika Kijiji cha Mbande mkoani Dar es Salaam yaliyosababishwa na mgogoro wa ardhi.
Mpashaji wetu anasema wananchi wa jamii ya Wakurya wamevamia mashamba na nyumba za watu na hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.

No comments:

Post a Comment