Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 16 August 2016

WANAFUNZI WA MTWARA GIRLS MABINGWA WA SAYANSI 2016



Mwanafunzi Angelus Albinus kutoka shule ya sekondari ya St. Joseph Kolping mkoani Kagera akionyesha drone yao waliyoitengeneza na mwenzake Adolph Tabaro. Wanafunzi hao walishinda tuzo Vernier Europe kutokana na ubunifu wao wa ‘The Use of a Spin-Electric Power Drone In Spying, Researching and Providing Optimal Security’.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Joyce Ndalichako, akisikiliza maelezo kutoka kwa mmoja wa wanafunzi walioshiriki maonyesho hayo.
 
Hili ndilo wazo la wanafunzi Mathias Kapenda na Jimmy Kibala kutoka shule ya sekondari Chidya mkoani Mtwara.
Mabanda ya baadhi ya wadhamini wa maonyesho hayo ya tano ya sayansi kwa wanafunzi nchini Tanzania.
  
Na Daniel Mbega

WANAFUNZI Nadhara Mresa na Diana Sosoka kutoka Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mtwara (Mtwara Girls), jana waliibuka mabingwa wa taifa katika Mashindano ya Tano ya Sayansi ya wanafunzi wakati wa maonyesho ya siku mbili yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

SOMA ZAIDI

No comments:

Post a Comment