Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 10 May 2015

QPR YASHUSHWA DARAJA BAADA YA KUPIGWA 6-0 NA MAN CITY


Klabu ya QPR imeshushwa daraja kutoka ligi kuu ya Uingereza baada ya kucharazwa mabao sita bila na Manchester City.

Sergio Aguerro alifunga mabao matatu huku mabao yake mawili yakipatikana baada ya mabeki wa QPR kufanya masihara huku la tatu likipitia mkwaju wa penalti.
Aleksandr Kolarov alifunga kupitia mkwaju wa adhabu huku James Milner na David Silva wakipata mabao yao baadaye.
QPR ilihitaji ushindi wa mechi tatu zake za mwisho ili kuwa na fursa ya kusalia katika ligi kuu ,lakini kushindwa kwao na Mancity hakuridhishi.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment