Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 27 October 2014

WABONGO SI MNAPENDA KUIGA?! HAYA IGENI NA TATTOO HIZI...!

 Watanzania wanapenda sana kuiga tamaduni za Kimagharibi ndiyo maana hata akina dada hivi sasa wanatumia gharama kubwa kutengeneza makalio yao, matiti na matumbo ili yaonekane kama ya wasanii wa Marekani.

Vijana wa kiume nao siku hizi wanaingia kwenye vituo vya mazoezi na wengine wanatumia vidonge maalum vya kutunisha misuli ili kujenga maumbile yao yawe ya miraba minne!
Siyo ajabu sasa wanakimbilia kwenye ndoa za jinsia moja - hii pia ikiwahusisha na vijana wa kiume ambao ni mashoga.
Pengine wanaweza kuiga na michoro (tattoo) hizi ili waonekane ni wa kisasa! Shida tupu! 
 

No comments:

Post a Comment