Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 19 July 2014

ODAMA ASEMA HAKWENDA NJE KUFANYA UFUSKA!

Mwigizaji wa filamu za kibongo Jennifer Kyaka ‘Odama’

Mwigizaji Jennifer Kyaka 'Odama' amekausha taarifa mbalimbali zinazowahusu wasanii na kusema kwamba hakwenda nje kufanya ufuska.
Hali hiyo imetokana na taarifa zilizosambaa kwa muda mrefu kwamba waigizaji na wasanii wengi wa muziki wamekuwa wakienda nje, hasa Mashariki ya Mbali, kwania ya kufanya ukahaba ili kujiongezea kipato.
HABARI KAMILI HII HAPA: ODAMA: SIKWENDA NJE KUJIUZA

No comments:

Post a Comment