Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 24 June 2014

WAZIRI MKUU MHE.PINDA NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA, LI YUANCHAO WAZINDUA KITEGAUCHUMI MFUKO WA MWALIMU NYERERE

PG4A3329 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao wakitazama picha za ziara ya hayati Baba wa taifa Mwalimu Julius Nyerere kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa Uwekezaji kati ya Tanzania na China kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Dar es salaam  Juni 23, 3014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A3371Waziiri Mkuu, Mizengo Pinda  akimkabidhi zawadi ya kinyago, Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao  kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa Uwekezaji kati ya Tanzania na China kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Dar es salaam  Juni 23, 3014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A3523Waziri Mkuu, Mizengo Pinda   na  Makamu wa Rais wa China, Li  Yuanchao wakifungua  vitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la Kitegauchumi la Mfuko wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es salaam Juni 23, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment