Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 24 June 2014

HISPANIA WAONA MWEZI KOMBE LA DUNIA, WAICHAPA AUSTRALIA 3-0, LAKINI WAMETOLEWA


WALIOKUWA mabingwa watetezi wa kombe la dunia, Hispania wamekamilisha ratiba ya kundi lao la B kwa ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Australia.
Mabao ya Hispania yamefungwa na  David Villa, Fernando Torres na Juan Mata.
Ushindi huo angalau umewafariji Hispania ambao sasa wanaondoka kwenya michuano ya mkwa huu ya kombe la dunia nchini Brazil wakiwa na pointi 3 kibindoni.
Katika kikosi cha leo, nahodha na kipa mkongwe wa Hispania, Iker Casillas alikaa benchi na kushuhida Reina akicheza dakika zote tisini.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE


No comments:

Post a Comment