Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 24 June 2014

MAADHIMISHO YA WIKI YA UTUMISHI WA UMMA MNAZI MMOJA JIJINI DAR YAFIKA KILELE

IMG_0007 Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi  Ombeni   Sefue (katikati) akipata maelezo ya baadhi ya vipodozi  vilivyopigwa marufuu  kutoka  kwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA),Hiiti Sillo (kushoto)  wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi  Mmoja jijini Dares Salaam leo na kulia ni Msemaji wa TFDA,Gaudensia Simwanza.
IMG_0009Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi  Ombeni   Sefue (katikati) akiangalia baadhi ya bidhaa duni na bandia katika banda la  Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA), wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi  Mmoja jijini Dares Salaam leo.Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Hiiti Sillo   na kulia ni Msemaji wa TFDA, Gaudensia Simwanza.
IMG_0011Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi  Ombeni   Sefue (katikati) akiangalia moja ya baadhi ya bidhaa  duni na bandia(ambayo ni maziwa  ya kopo) katika banda la  Mamlaka ya Chakula na Dawa(TFDA), wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi  Mmoja jijini Dares Salaam leo.  Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa Hiiti Sillo   na kulia ni Msemaji wa TFDA, Gaudensia Simwanza.
IMG_0091Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi  Ombeni   Sefue wa tatu kutoka (kulia) akimkabidhi Msemaji wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji, Nurdin Ndimbe kikombe cha ushindi wa kwanza katika ubunifu  katika kuboresha utoaji wa huduma , wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi  Mmoja jijini Dares Salaam leo. 
IMG_0096Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi  Ombeni   Sefue akitoa hotuba yake wakati wa kilele cha maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma iliyofanyika kwenye viwanja vya Mnazi  Mmoja jijini Dares Salaam leo.  
PICHA ZOTE NA MAGRETH KINABO – MAELEZO.
CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment