Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 24 June 2014

UHOLANZI MWAKA HUU HAWANA MASIHARA BRAZIL, WAICHAKAZA CHILE 2-0


LOUIS van Gaal ameiongoza Uholanzi kupata ushindi wa asilimia 100 katika kundi B  baada ya  Leroy Fer na Memphis Depay wakitokea benchi kufunga mabao mawili dhidi ya Chile usiku huu.
Kiungo wa Norwich City , Fer alifunga bao lake katika dakika ya 77 ikiwa ni dakika mbili tu tangu aingie, naye  Depay alifunga bao la pili dakika ya 92 akimalizia krosi ya Arjen Robben na kuipa Uholanzi ushindi huo wa mabao 2-0.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE


No comments:

Post a Comment