Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...
Tuesday, 24 June 2014
RAIS KIKWETE AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA CHINA PAMOJA NA MMILIKI WA KAMPUNI YA DANGOTE
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo wakati akizungumza na makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China Mh. Li Yuanchao ikulu jijini Dar es Salaam jana. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na mmiliki wa kampuni kubwa ya kuzalisha saruji DANGOTE Industries Ltd Alhaji Aliko Dangote ikulu jijini Dar es Salaam jana (picha na Freddy Maro)
No comments:
Post a Comment