Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday, 24 June 2014

TUICO YAENDELEZA MAFUNZO KWA MAKATIBU WAKE.

Katibu mkuu msaidizi sekta ya viwanda Bw. Tamimu Salehe akitoa mafunzo maalumu kwa makatibu wa TUICO ili kuwajengea uwezo makatibu hao ili waweze kuleta ufanisi katika kazi zao, semina hiyo inatarajiwa kuhitimishwa mnamo tarehe 27/6/2014, semina hiyo inafanyika katika hotel ya New Savoy iliyopo Morogoro
Pichani ni makatibu wa TUICO Tanzania bara (makatibu wa mikoa na makatibu wasaidizi) wakiwa katika darasa maalumu katika semina hiyo inayoendeshwa na waendeshaji maalumu kutoka chama cha wafanyakazi wa viwanda, biashara, taasisi za fedha, huduma na ushauri.


No comments:

Post a Comment