Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday, 11 June 2014

MWANZA KWEUPEEE, VURUGU ZATAWALA POLISI NA WAMACHINGA

Mitaa ya Jiji la Mwanza miyeupee, maduka yamefungwa na vurugu zilikuwa kubwa mno.
 Hii ndiyo hali halisi ilivyokuwa tangu asubuhi katika Jiji la Mwanza.
 Taswira ilivyokuwa.
Naam, polisi wametanda kila kona.

No comments:

Post a Comment