Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday, 12 June 2014

DUNIA NZIMA INASUBIRIA `GOMA` LIANZE LEO BRAZIL, NEYMAR AMEIBEBA NCHI YAKE MABEGANI KWAKE

I know you! A fan and Ronaldinho look-alike invaded the pitch as Argentina trained at Belo Horizonte
Nakujua wewe! Shabiki anayeonekana kama Ronaldinho alivamia mazoezi ya Argentina kwenye uwanja wa Belo Horizonte.
MAZOEZI ya Argentina jana jumatano yalivamiwa na mtu moja mwenye sura inayofahamika duniani.
Wakati Lionel Messi na wachezaji wenzake wakijiandaa kuelekea mchezo wa ufunguzi wa kundi lao dhidi ya Bosnia siku ya jumapili, shabiki mmoja mwenye sura inayofanana na nyota wa zamani wa Brazil, Ronaldinho alivamia uwanjani.
Waargentina walimfurahia jamaa huyo lakini alitolewa na maofisa wa uwanja.
Kusoma zaidi na kutazama picha bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment