Huu ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello.
Mabao Algeria yamefungwa na Slimani katika dakika ya 26, Halliche 28, Djabou 38, Yacine Brahimi 62.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com
CHANZO FULL SHANGWE
No comments:
Post a Comment