Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday, 23 June 2014

ALGERIA YANUSA 16 BORA KOMBE LA DUNIA, YAITANDIKA KOREA KUSINI 4-2


TIMU ya Taifa ya Algeria imejiweka mazingira mazuri ya kufuzu hatua ya 16 ya kombe la dunia baada ya kuibuka na ushindi mnono wa mabao 4-2 dhidi ya Korea kusini usiku huu.
Huu ni ushindi mzuri kwa Algeria hasa baada ya Urusi kufingwa bao 1-0 na Ubelgiji, hivyo wawakilishi hawa wa Afrika watahitaji pointi moja tu dhidi ya timu ya Urusi chini ya kocha Fabop Capello.
Mabao Algeria yamefungwa na Slimani katika dakika ya 26, Halliche 28, Djabou 38, Yacine Brahimi 62.
Kusoma zaidi bofya www.bkmtata.blogspot.com

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment