KUNDI la walemavu, wajasiriamali na wafanyabiashara ndogo ndongo, jana May 20, 2014 wamefunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume) kwa muda wa saa tatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara baada ya kuwaondoa katika eneo la Mtaa wa Kongo Kariakoo jijini Dar es Salaam.
CHINI FUATILIA PICHA ZA TUKIO HILO.
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
CHANZO FULL
SHANGWE
No comments:
Post a Comment