Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Wednesday 21 May 2014

WAJASIRIAMALI WALEMAVU WAFUNGA BARABARA DAR

KUNDI la walemavu, wajasiriamali na  wafanyabiashara ndogo ndongo, jana May 20, 2014 wamefunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume) kwa muda wa saa tatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara baada ya kuwaondoa katika eneo la Mtaa wa Kongo Kariakoo jijini Dar es Salaam.
CHINI FUATILIA PICHA ZA TUKIO HILO. 
PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE
2 (17)3 (10)6 (4)9 (1)10 (2)1 (17)

CHANZO FULL SHANGWE

No comments:

Post a Comment