Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Friday 2 May 2014

SKYLIGHT BAND YAZIDI KUWAKUNA MASHABIKI WAKE, TUKUTANE THAI VILLAGE LEO

DSC_0013
Picha juu na chini Aneth Kushaba AK47 akiongoza Divas wa Skylight Band kuwapa raha mashabiki wao Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village, Masaki jijini Dar. Usikose jioni yale ucheze Kariakoo na style kibao mpya za Skylight Band ikiwemo “Kikuku huyo Kwiyo Kwiyo”
DSC_0024
Winfrida Richard akiwapa raha mashabiki wa Skylight Band sambamba na Aneth Kushaba AK47.
DSC_0038
Hashim Donode na Winfrida Richard wakitoa burudani huku wakisindikizwa na Digna Mbepera.
DSC_0073
Mashabiki wa Skylight Band wakifanya yao.
DSC_0058
Sam Mapenzi akiwapagiwisha mashabiki wa Skylight Band Ijumaa iliyopita ndani ya kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0075
Pichani juu na chini ni mashabiki wa Skylight Band wakionekana kukunwa na burudani ya band hiyo.
DSC_0091
Burudani ikiendelea.
DSC_0095
Kwa raha zetu babu….!
DSC_0100
Digna Mbepera akitoa burudani ndani ya Thai Village.
DSC_0108
Joniko Flower akiwasebenesha wapenzi wa Skylight Band.
DSC_0114
Sugua sugua mpaka utakate….Style mpya ya Skylight Band ikifuatishwa na mashabiki wa bendi hiyo.
DSC_0115
Watu wewe….. imebamba hiyo…!!
DSC_0127
Hata kwenye mduara pia tumo…!
DSC_0131
Rappa Joniko Flower na Wnifrida Richard wakiwajibika jukwaani.
DSC_0155
Amos Kinanda akifanya yake.
DSC_0178
Palifurikaje…
DSC_0191
Mashabiki wa Skylight Band wakichizika na wimbo wa Happy
DSC_0209
DSC_0213
Because I’m happy…Clap along if you feel like a room without a roof…Because I’m happy…!!
DSC_0214
Clap along if you feel like a room without a roof…Because I’m happy…!!
CHANZO, MPENJA BLOG

No comments:

Post a Comment