Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Saturday 17 May 2014

HATARI SANA! DEMU WA SAMIR NASRI KUPANDA KIZIMBANI KWA MATUSI YA NGUONI


Matatani: Anara Atanes anakabiliwa na kesi kwa kumtusi kocha wa Ufaransa, Didier Deschamps

KOCHA timu ya taifa ya Ufaransa,  Didier Deschamps amefungua kesi dhidi ya mpenzi wa Samir Nasri aliyemtusi mwalimu huyo baada ya kutaja kikosi cha Ufaransa cha Kombe la Dunia na kumtema kiungo huyo nyota wa Manchester City.  
Anara Atanes aliposti kwenye akaunti yake ya mtandao wa kijamii wa Twitter- matusi haya; "F*** France and F*** Deschamps! What a s*** manager".
Lakini ingawa baadaye aliomba radhi, Deschamps atachukua hatua za kisheria dhidi ya Atanes.
Kituo cha Redio cha Ufaransa, RMC kimeripoti kwamba Deschamps na Shirikisho la Soka Ufaransa (FFF) wote wamefungua kesi dhidi ya Atanes, ambaye ni mzaliwa wa England na mwimbaji wa kundi la Pop, Fanfare.

CHANZO, MPENJA 

No comments:

Post a Comment