Pages

Pages

Pages

Monday 12 May 2014

BALOZI WA FINLAND NCHINI SINIKKA ANTILA AMTEMBELEA WAZIRI WA NISHATI NA MADINI

Picha Na. 1 (1)
Balozi wa Finland  Nchini Sinikka Antila akisaini kitabu cha wageni kwenye ofisi ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo mara baada ya kuwasili.
Picha Na. 2 (2)
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akisisitiza jambo katika kikao hicho. Kati ya masuala yaliyojadiliwa ni pamoja na ushirikiano baina ya nchi ya Tanzania na Finland katika masuala ya teknolojia,  uendelezaji wa rasilimaliwatu na usimamizi wa fedha
Picha Na. 3
Balozi wa Finland Nchini Sinikka Antila (kulia) akizungumzia jinsi  nchi ya Finland ilivyopiga hatua kimaendeleo hususani katika sekta ya nishati pamoja na utayari wa nchi hiyo kushirikiana na nchi  ya Tanzania katika kuimarisha sekta za nishati na madini.
CHANZO FULL SHANGWE BLOG

No comments:

Post a Comment