Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...
Saturday, 8 February 2014
PEPO LINAPOGOMA KUTOKA... HADHARANI!
Waungwana hawa wamenaswa na kamera yetu leo hii pale stendi ya Mafinga wakimuombea binti huyo mwenye matatizo ya akili ambaye walisema anasumbuliwa na pepo. Mambo yenyewe ni kama yanavyoonekana kwenye picha hizi.
No comments:
Post a Comment