VIDEO
Queen matata Bongo, Agnes Gerald Waya ‘Masogange’ amewajia juu kundi
kubwa la wanaume linalomtaka kimapenzi wakati wanatambua vyema kuwa ana
mtu wake.
Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Masogange alisema tangu atoke Sauz aliponaswa kwa msala wa kusafirisha malighafi haramu, wanaume wakware wamekuwa wakimsaka kama fisi aliyeona mfupa kitu ambacho hakubaliani nacho.
“Sitaki
kutongozwa kabisa, waniache. Kinachonikera zaidi wanaonitongoza wengi
wanatambua kabisa nina mchumba wangu (Evance), watu wengine sijui
wapoje!” alisema Masogange.

<GPL>
Akipiga stori na paparazi wetu hivi karibuni, Masogange alisema tangu atoke Sauz aliponaswa kwa msala wa kusafirisha malighafi haramu, wanaume wakware wamekuwa wakimsaka kama fisi aliyeona mfupa kitu ambacho hakubaliani nacho.


<GPL>
No comments:
Post a Comment