Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Thursday, 15 May 2014

PUMA WAZINDUA NJUMU MPYA ZITAKAZOVALIWA NA BALOTELLI, FABREGAS KOMBE LA DUNIA

Puma Launch EvoPOWER World Cup Boots with Mario Balotelli, Cesc Fabregas

               KAMPUNI ya kutengeneza vifaa vya michezo ya PUMA imezindua             viatu vya EvoPOWER kwa ajili ya kombe la dunia mwaka huu nchini Brazil.

Viatu hivyo vimezinduliwa na wachezaji nyota wawili,  Mario Balotelli wa Italia na Cec Fabregas wa Hispania.




Viatu vya Puma


Wachezaji wa Arsenal wakitumia viatu vya Puma katika mazoezi



Daluga za Puma ni moyo mwingine



Jamaa katinga buti za Puma tayari kwa kazi


 CHANZO, MPENJA BLOG 

No comments:

Post a Comment