Pages

Pages

Pages

Thursday 15 September 2016

MOI YAPOKEA MSAADA WA MIGUU BANDIA TAKRIBANI 600 YENYE THAMANI YA SHILINGI MILIONI 60

  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji waTaasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu  Dkt. Othman Kiloloma (kushoto) akionesha moja ya mguu wa bandia ambao umotolewa msaada na Taasisi ya Legs 4 Afrika ya nchini Uingereza kwa kushirikiana na Asasi ya Mohamed Punjani pamoja na Taasisi ya Watoto Kwanza ikiwa ni sehemu ya msaada wa miguu ya bandia takribani 600 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni sitini kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye mahitaji ya viungo hivyo mapema hii leo katika taasisi ya mifupa na mishipa ya fahamu, kulia ni Mkurugenzi wa Mradi wa Watoto Kwanza Bi. Janeth Kiwia.

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mohamed Punjani Foundation Bw. Gulam Punjani kulia akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya msaada wa miguu ya bandia takribani 600 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni sitini kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye mahitaji ya viungo hivyo mapema hii leo katika taasisi ya mifupa na mishipa ya fahamu, katikati ni  Mkurugenzi wa Mradi wa Watoto Kwanza Bi. Janeth Kiwia na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi wa Mtendaji waTaasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu  Dkt. Othman Kiloloma.
 Mtaalam wa kutengeneza viungo vya miguu toka Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) Bw. Soud Ramadhan akionesha namna ya utengenezaji wa miguu bandia kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya msaada wa miguu ya bandia takribani 600 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni sitini kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye mahitaji ya viungo hivyo mapema hii leo katika taasisi ya mifupa na mishipa ya fahamu.
 Mtaalam wa kutengeneza viungo vya miguu toka Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu (MOI) Bw. Geofrey Mwakasungula akionesha namna ya utengenezaji wa miguu bandia kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya msaada wa miguu ya bandia takribani 600 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni sitini kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye mahitaji ya viungo hivyo mapema hii leo katika taasisi ya mifupa na mishipa ya fahamu.
Kaimu Mkurugenzi wa Mtendaji waTaasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu  Dkt. Othman Kiloloma (kulia) akionesha waandishi wa habari (hawapo pichani) moja ya viungo bandia wakati wa makabidhiano ya msaada wa miguu ya bandia takribani 600 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni sitini kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye mahitaji ya viungo hivyo mapema hii leo katika taasisi ya mifupa na mishipa ya fahamu.

 Mkurugenzi wa Mradi wa Watoto Kwanza Bi. Janeth Kiwia kulia akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa makabidhiano ya msaada wa miguu ya bandia takribani 600 yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni sitini kwa ajili ya kuwasaidia wagonjwa wenye mahitaji ya viungo hivyo mapema hii leo katika taasisi ya mifupa na mishipa ya fahamu, kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa taasisi hiyo Dkt. Othman Kiloloma.

No comments:

Post a Comment