Pages

Pages

Pages

Wednesday 3 August 2016

WAZIRI MWIGULU NCHEMBA AFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI, MWAKILISHI UNHCR HAPA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kulia) akimkaribisha ofisini kwake jijini Dar es Salaam Agosti 3, 2016, Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuwahudumia Wakimbizi (UNHCR), Chansa Kapaya , . Viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya kuwahudumia Wakimbizi nchini.(PICHANA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI)
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kulia) akimsikiliza Mwakilishi Mkazi wa Shirika la Kimataifa la Kuwahudumia Wakimbizi (UNHCR), Chansa Kapaya alipomtembelea ofisini kwake, jijini Dar es Salaam leo. Viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya kuwahudumia Wakimbizi nchini. 


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kulia), akimkaribisha ofisini kwake jijini Dar es Salaam, leo Agosti 3, 2016,Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp, ambapo walifanya mazungumzo ya ushirikiano wa mataifa hayo mawili katika eneo lausalama wa raia
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (kushoto) akizungumza na Balozi wa Uturuki nchini, Yasemin Eralp masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Uturuki. Mazungumzo hayo yalifanyika ofisini kwa Waziri jijini Dar es Salaam Agosti3, 2016

No comments:

Post a Comment