Pages

Pages

Pages

Wednesday 24 August 2016

ETI RAIS MAGUFULI 'AMEWACHOKOZA' CHADEMA!






Hata watoto hutangulizwa kwenye maandamano ya Chadema kama haya yaliyofanyika mwaka 2011 ambapo mtoto huyu ambaye hakujulikana jina lake mara moja naye alikuwemo.
Eliud Mwamakula
HAK’YANANI Rais John Pombe Joseph Magufuli ‘umewachokoza’ Chadema. Na tayari wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamekaa ‘mguu sawa’ kutekeleza amri ‘tukufu ya kamanda wao’ Freeman Mbowe, ya kufanya maandamano nchi nzima hapo Septemba Mosi, 2015 kupinga kile ambayo kiongozi huyo na chama chake wanakiita ‘Udikteta’ ndani ya Serikali ya Awamu ya Tano.

No comments:

Post a Comment