ESRF NA UNDP/UNEP WAANDAA KONGAMANO LA KILIMO BIASHARA KANDA YA ZIWA, BURE JUMAMOSI HII
Taasisi
ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) ikishirikiana na Shirika la
Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP/UNEP inaandaa Kongamano la siku moja
kuhusu KILIMO BIASHARA katika KANDA YA ZIWA litakalofanyika Jijini
Mwanza siku ya Jumamosi tarehe 27/8/2016 katika Ukumbi wa ROCK CITY MALL
ghorofa ya tatu kuanzia saa mbili na nusu (2:30) asubuhi. Malelezo
Zaidi bofya hapahttp://esrf.or.tz/ebrief/067.html Au soma vipeperushi hapa chini
No comments:
Post a Comment