Pages

Pages

Pages

Wednesday 24 August 2016

ESRF NA UNDP/UNEP WAANDAA KONGAMANO LA KILIMO BIASHARA KANDA YA ZIWA, BURE JUMAMOSI HII

Taasisi ya Utafiti wa Kiuchumi na Kijamii (ESRF) ikishirikiana na Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa UNDP/UNEP inaandaa Kongamano la siku moja kuhusu KILIMO BIASHARA katika KANDA YA ZIWA litakalofanyika Jijini Mwanza siku ya Jumamosi tarehe 27/8/2016 katika Ukumbi wa ROCK CITY MALL ghorofa ya tatu kuanzia saa mbili na nusu (2:30) asubuhi. Malelezo Zaidi bofya hapahttp://esrf.or.tz/ebrief/067.html Au soma vipeperushi hapa chini

No comments:

Post a Comment