Pages

Pages

Pages

Monday 8 February 2016

MAHAKAMA YA TANZANIA YAPOKEA SH. BILIONI 12.3 ZILIZOAHIDIWA NA RAIS


Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (katikati) akimkabidhi Mtendaji Mkuu wa Mahakama Hussein Katanga (kushoto) mfano wa hundi wakati wa makabidhiano ya fedha hizo mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amon Mpanju.

Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango (katikati) akimkabidhi Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Amon Mpanju (kulia) mfano wa hundi wakati wa makabidhiano ya fedha hizo mbele ya waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam. Kushoto ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama Hussein Katanga.

No comments:

Post a Comment