Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 4 January 2016

BINAGI MEDIA GROUP INAWAJALI NA KUWATHAMINI

Binagi Media Group, Kwa Pamoja Tuijuze Jamii, inapenda kuwatakia Kheri ya Mwaka Mpya 2015 Watazamaji, Wasikilizaji na Wasomaji wake wote ndani na nje ya nchi ya Tanzania. 

Mwaka 2016 uwe wa Mafanikio zaidi kwenu huku kila mmoja akijiweka karibu na uwepo wa Mwenyezi Mungu.
Ahadi yetu ni kuendelea kukuletea Habari na Matukio mbalimbali kadri yanavyotufikia na kadri tunavyoyafikia. 
Hakika Binagi Media Group, Kwa Pamoja Tuijuze Jamii inawajali na Kuwathamini.

No comments:

Post a Comment