![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgqAe1Y9zsmLO9fShGwNeWNPfG_HcCA0_ltfJpqY0XQTGEo_3Ju8_CGu3cVG9HaJwjYkX8PwlzFQsiihkO_zD713GbMk1guSnWtcGW1kL-g2NS0zuIUJdFSUH1bSficoC_ddaRf20SNeCc/s640/IMG_0078.jpg)
![]() |
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal akiwasili katika hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Mawasiliano ya Intaneti. |
![]() |
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal (wa pili kushoto) akipata maelezo namna kituo cha mawasiliano ya intaneti cha TTCL kilichozinduliwa leo kinavyotoa huduma zake. |
![]() |
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Mohammed Gharib Bilal akibofya kitufe kuzinduwa rasmi Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano. |
![]() |
Salamu za shukrani kwa mgeni rasmi toka Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia zikitolewa na Katibu Mkuu. |
No comments:
Post a Comment