Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Monday 3 August 2015

KUNDI LAWAISLAMU LAHUKUMIWA MIAKA 22 JELA

Rais Obama
Mahakama moja nchini Ethioipia imelipiga hukumu ya miaka 22 jela kundi moja la waislamu chini ya sheria tata ya kukabiliana na ugaidi.
Washukiwa hao 18 walishtakiwa mwezi uliopita kwa mashtaka ikiwemo lile la ugaidi na njama ya kubuni taifa la kiislamu.
Walikamatwa miaka mitatu wakati wa maandamano ya kupinga serikali kuingilia maswala ya kidini.
Walikana mashtaka hayo na kulalama kwamba walinyanyaswa wakati walipokuwa kizuizini.
Wakati wa ziara ya rais Obama nchini humo baadhi ya wanaharakati walimueleza kuhusu kesi hiyo.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment