Pages

Pages

Pages

Sunday 30 August 2015

KENYA MABINGWA WA RIADHA DUNIANI 2015

Ezekiel Kemboi
Kenya kwa mara ya kwanza kabisa imeibuka mshindi wa mashindano ya riadha ambayo yamekamilika mjini Beijing nchini China.
Kenya ilimaliza kileleni kwa Jumla ya medali kumi na sita, saba za dhahabu , sita za fedha na tatu za shaba. Nafasi ya pili ilichukuliwa na Jamaica huku nayo Marekani ikishika nasafi ya tatu.

Image captionDavid Rudisha

Katika siku ya mwisho ya mashindano hayo waamerika walishinda dhahabu katika mbio za mita 400 kupokezana vijiti ambapo Trinidad na Tobago walishinda fedha huku nao Uingezea wakishinda shaba. Jamaica nayo ilishinda mbio hizo upande wa akina dada.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment