Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Sunday 21 June 2015

DE GEA KUONDOKA OLD TRAFFORD!

David de Gea
Kipa wa Manchester United David de Gea amewaambia wachezaji wenzake katika kilabu hiyo ya Old Trafford kwamba anataka kuihama kilabu hiyo na kujiunga na Real Madrid.

Kulingana na gazeti la mail online,hatma ya kipa huyo katika klabu ya Manchester United haijulikani huku Madrid ikiwa na hamu ya kumsajili kipa huyo aliyeisaidia manchester United kupanda hadi nafasi ya nne.
Raia huyo wa Uhispania amewaambia wenzake kwamba anataka kurudi katika klabu ya Madrid kabla ya kuanza kwa msimu ujao.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment