Twitter Buzz

....

....

...

...

IMETOSHA!

IMETOSHA!

Featured post

KIJANA GOZBERT BWELE ALIVYOMPAGAWISHA MAKAMU WA RAIS WA HISPANIA MJINI NANSIO

Makamu wa rais mstaafu wa Hispania, Mama Maria Teresa Fernandes De la Vega alishindwa kujizuia na kwenda kumtuza mtoto Gozbert ...

Tuesday 2 June 2015

AJUZA AOKOLEWA KATIKA BOTI ILIYOZAMA CHINA


Waokozi nchini Uchina wanaowasaka manusura kutoka kwenye meli ya abiria iliyozama katika mto Yangtze wameweza kumvuta kutoka kwenye meli hiyo mwanamke mwenye umri wa miaka 85.

Mwanamke huyo ni mmoja wa watu wapatao 12 wanaofahamika kunusurika katika ajali hiyo iliyotokea baada ya meli hiyo kuzama jana usiku .
Boti iliozama nchini China
Miili ya watu imekuwa ikivutwa kutoka kwenye meli hiyo.
Watu zaidi ya 450 walikuwa wameabiri meli hiyo ilipopata ajali kutokana na hali mbaya ya hewa.
CREDIT: BBC

No comments:

Post a Comment